Eobani na wenzake
Mandhari

Eobani na wenzake Adelari, Vintrungi, Valteri, Amundi, Shibaldi, Bosa, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi na pengine 41 zaidi (waliuawa Dokkum, katika Uholanzi wa leo, 5 Juni 754) walikuwa askofu, mapadri, mashemasi na wamonaki Wabenedikto waliotumwa kama mmisionari kwa Wafrisia, wakauawa pamoja na Bonifas.
Eobani alikuwa askofu, Adelari, Vintrungi na Valteri mapadri, Amundi, Shibaldi na Bosa mashemasi, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi wamonaki tu[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na wengineo kama watakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Talbot, C. H., ed. The Anglo-Saxon Missionaries in Germany: Being the Lives of S.S. Willibrord, Boniface, Strum, Leoba and Lebuin, together with the Hodoeporicon of St. Willibald and a Selection from the Correspondence of St. Boniface. New York: Sheed and Ward, 1954.
- The Bonifacian vita was republished in Noble, Thomas F. X. and Thomas Head, eds. Soldiers of Christ: Saints and Saints’ Lives in Late Antiquity and the Early Middle Ages. University Park: Pennsylvania State UP, 1995. 109-40.
- Die Briefe des heiligen Bonifatius und Lullus, a cura di M. Tangl, Berlin, 1916
- J. Semmler - G. Bernt - G. Binding, Bonifatius, in Lexikon des Mittelalters, München, 1983
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Eoban in the Ökumenisches Heiligenlexikon
- "St. Boniface, Archbishop of Mentz, Apostle of Germany and Martyr", Butler's Lives of the Saints
- Wilhelm Levison, Vitae Sancti Bonifatii Ilihifadhiwa 5 Aprili 2011 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |