Nenda kwa yaliyomo

Engy Sayed

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Engy Ahmed Atya Sayed (kwa Kiarabu: إنجي أحمد عطية سيد, alizaliwa tarehe 4 Septemba 1986), anayejulikana zaidi kama Engy Sayed, ni mchezaji wa soka kutoka Misri anayekipiga katika nafasi ya mshambuliaji kwa timu ya taifa ya wanawake ya Misri na klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri ya Al-Amerya.[1]

Engy Sayed alizaliwa jijini Cairo, Misri, tarehe 4 Septemba 1986. Alipata sapoti kubwa kutoka kwa familia yake inayopenda sana soka, na alikuwa akicheza mitaani pamoja na kaka zake na ndugu wengine. Alijitangaza kwa vilabu vya nje ya nchi kupitia jukwaa la YouTube.[2] She scored twice in their qualifying campaign for the tournament, both goals being against Libya.[3]

  1. شعبان, حاتم (23 Aprili 2023). "إنجي عطية قائدة الاميرية تتحدث عن خسارة لقب كأس مصر للمرة الثانية". Kora Plus (kwa Kiarabu). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 22 Agosti 2023. Iliwekwa mnamo 22 Agosti 2023.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named caf1
  3. "المباريات التي سجل فيها أهداف اللاعب: انجي احمد". Koora (kwa Kiarabu). Iliwekwa mnamo 22 Agosti 2023.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Engy Sayed kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.