Emerita wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Wat. Digna na Emerita kilivyochorwa na Pietro Andrea Barbieri.

Emerita wa Roma (alifariki Roma, 259 hivi) alikuwa mwanamke wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa ajili ya imani yake katika dhuluma ya kaisari Valerian[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mengi kama mtakatifu mfiadini, pengine pamoja na Digna wa Roma.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.