Eligius wa Noyon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Eliji alivyochorwa mwaka 1508.
Saini ya Mt. Eligius.

Eligius wa Noyon (kwa Kifaransa: Éloi; Chaptelat, Aquitaine, 588 hivi – Noyon, 1 Desemba 660) alikuwa sonara halafu mshauri mkuu wa mfalme wa Ufaransa Dagobert I.

Miaka mitatu baada ya kifo cha mfalme huyo, alichaguliwa kuwa askofu wa Noyon-Tournai (642). Hapo kwa miaka ishirini alijitahidi kufanya wakazi Wapagani wa Flandria waongokee Ukristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Desemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/80000
  2. December 1. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome.
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.