Eliena

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eliena (pia: Elena, Eilena; aliishi Laurino, Campania, Italia, karne ya 6 hivi) alikuwa bikira ambaye mapema utotoni alikwenda kuishi kama mkaapweke katika pango hadi kifo chake[1].

Imara katika matendo ya Kristo, alimtumikia Mungu bila kujibakiza katika mahitaji ya watawa na wagonjwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Aprili[2] au 22 Mei.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.