Eleonora Giorgi (mwanariadha)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Giorgi mnamo 2015 huko Murcia
Giorgi mnamo 2015 huko Murcia

Eleonora Anna Giorgi (alizaliwa 14 Septemba 1989) ni mwanariadha wa Italia na mshindi wa medali ya shaba katika michuano ya kidunia ya 2019.[1] Alishindana katika michezo ya Olimpiki ya majira ya joto ya 2020 akishiliki katika matembezi ya 20km.[2]

Yeye ndiye anayeshikilia rekodi ya dunia ya matembezi ya mbio za mita 5000 kwa muda wa seti 20:01.80 mnamo tarehe 18 Mei 2014 huko Misterbianco.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Eleonora Bio.
  2. "Eleonora GIORGI". Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-11-01. 
  3. Andrea Benatti (2014-05-18). "Eleonora Giorgi nella storia: record mondiale dei 5 km di marcia in pista". Queen Atletica (kwa it-IT). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-11-01. Iliwekwa mnamo 2021-11-01.