Elazığ
Elâzığ (Kikurdi: Elezîz) ni mji uliopo Mashariki ya Anatolia, nchini Uturuki na ndiyo kitako cha Jimbo la Elâzığ. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, idadi ya wakazi wa huko ilifikia 266,495.
Jina
Historia
Uchumi
Jiografia na hali ya hewa
Picha za mjini hapa
-
Hazarbaba
Marejeo
- David Ayalon, Moshe Sharon (1986). Studies in Islamic History and Civilization; Article: Ma'mûrat al-Aziz, p. 342 ISBN 978-0-510-03200-5 (kwa (Kiingereza)). Brill Publishers.
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Elazığ kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |