Nenda kwa yaliyomo

Edmund Whalen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Edmund James Whalen (alizaliwa 6 Julai 1958) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani ambaye amekuwa akihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Kuu la New York tangu mwaka 2019.[1]

  1. Pope Francis Accepts Resignation of Bishop John Jenik, Names New Auxiliary Bishops for Archdiocese of New York (Press release). United States Conference of Catholic Bishops. October 10, 2019. http://www.usccb.org/news/2019/19-174.cfm. Retrieved October 10, 2019.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.