Edit-a-thon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Edit-a-thon ni warsha au tukio ambalo wahariri wa jamii za mtandaoni kama vile Wikipedia, OpenStreetMap (vile vile kama “mapathon[1]”) na LocalWiki huhariri na kuboresha maudhui fulani au mada maalum. Matukio hayo huhusisha mafunzo ya awali ya uhariri kwa wahariri wapya na pia hujumuisha mkusanyiko wa kijamii.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. LearnOSM. learnosm.org. Iliwekwa mnamo 2022-09-06.