Edgar Lungu
Jump to navigation
Jump to search
Edgar Chagwa Lungu (amezaliwa 11 Novemba 1956) ni mwanasiasa wa Zambia ambaye amekuwa Rais wa Zambia tangu Januari 2015.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Edgar Lungu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |