Dunstan Luka Kitandula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dunstan Luka Kitandula ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mkinga kwa miaka 20152020. [1] Alikuwa mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini ndani ya bunge la Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017