Nenda kwa yaliyomo

Dominique Mamberti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dominique François Joseph Mamberti (alizaliwa 7 Machi 1952) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa, anayehudumu kama Prefekti wa Mahakama Kuu ya Kitume (Apostolic Signatura) katika Curia ya Kipapa.

Papa Fransisko alimteua kuwa kardinali mwaka 2015.[1]

  1. (in it) Rinunce e Nomine, 19.02.2004 (Press release). Holy See Press Office. 19 February 2005. http://press.vatican.va/content/salastampa/it/bollettino/pubblico/2004/02/19/0085/00276.html. Retrieved 16 October 2019.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.