Dodoma F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dodoma F.C. ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Tanzania iliyopo Mkoa wa Dodoma.

Michezo yao ya nyumbani inachezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Timu hiyo ilianzishwa mwaka 2017 kwa jina la Area C Football Club.

Mwaka 2019 Halmashauri ya Jiji Dodoma ikaanza kuidhamini na mwaka 2020 ikabadili jina rasmi na kuitwa "Dodoma Jiji F.C.". Mwaka 2020 ilifaulu kuingia Ligi Kuu Tanzania Bara.[1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Dodoma Jiji yaungana na Gwambina Ligi kuu". Mwanaspoti (kwa Swahili). Iliwekwa mnamo 12 July 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)