Dionisi wa Heraklea
Mandhari
Dionisi wa Heraklea (pia anajulikana kama Dionisi Mwasi; karibu 330 KK – karibu 250 KK [1]) alikuwa mwanafalsafa wa Ustoiki na mwanafunzi wa Zeno wa Citium ambaye, mwishoni mwa maisha yake, aliacha Ustoiki alipopatwa na maumivu makali.
Maisha ya awali
[hariri | hariri chanzo]Alikuwa mwana wa Theophanto. Katika maisha yake ya awali alikuwa mfuasi wa Heraklideo, Aleksino, na Menedemo, na baadaye Zeno, ambaye anaonekana kumshawishi akubali Ustoiki. [2] Baadaye alipatwa na maumivu makali ya macho, [3] ambayo yalimfanya aachane na falsafa ya Stoiki.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Dorandi 1999.
- ↑ Laërtius 1925.
- ↑ Laërtius 1925, § 166; Kikero, Disputationes Tuskulanes, ii. 25