Diogo Dalot

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Diogo Dalot (alizaliwa 18 Machi 1999) ni mchezaji wa soka wa Ureno anayecheza katika klabu ya ligi kuu ya Uingereza ya Manchester United.[1][2]

Kazi katika klabu za mpira[hariri | hariri chanzo]

Manchester United[hariri | hariri chanzo]

Diogo Dalot alisaini katika klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Manchester United mnamo 6 Juni mwaka 2018 katika mkataba wa miaka mitano (5) kwa ada ya £ 19 milioni.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Portugal - Diogo Dalot - Profile with news, career statistics and history - Soccerway". uk.soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2022-04-12. 
  2. "Wayback Machine". web.archive.org. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-02-06. Iliwekwa mnamo 2022-04-12. 
  3. "Man Utd sign Porto's Dalot for £19m", BBC Sport (kwa en-GB), iliwekwa mnamo 2022-04-12 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diogo Dalot kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.