Diarmaid
Mandhari
Diarmaid (pia: Diermit, Dhiarmuit, Dermod, Diermedus, Diermetus, Diermitius, Diermitius; alifariki Inis Clothrann, 542 hivi) alikuwa mmonaki padri msomi wa Ireland na abati mwanzilishi wa monasteri mbili.
Ile kubwa ya Inis Clothrann (tangu 530 hivi)[1] ndipo alipolea watu wengi kama Kieran Kijana, nayo, pamoja na shule yake, iliendelea kuwa maarufu kwa karne sita baadaye [2].
Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3].
Hasa tarehe 10 Januari ndiyo sikukuu yake.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Grattan-Flood, William. "St. Diarmaid." The Catholic Encyclopedia Vol. 4. New York: Robert Appleton Company, 1908. 13 Oct. 2021
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/99985
- ↑ "Saint Diarmaid the Just". New Catholic Dictionary CatholicSaints.Info. 21 October 2012
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |