Diane Mizumi
Mandhari
Diane Mizumi Mwinga alichaguliwa kuwa Malkia wa Kongo (Kinshasa) mwaka 2006 akiwa na umri wa miaka 23 katika Hoteli Kuu ya Kinshasa. Alizaliwa tarehe 4 Machi 1983 na alikulia Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Yeye ni mwanafunzi wa mawasiliano. Mizumi ni binti wa Willy Mizumi na Marie-Grégoire Tambil.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- http://www.lesoftonline.net/phil.php?id=841 Ilihifadhiwa 14 Juni 2006 kwenye Wayback Machine. Bi : balozi mpya azaliwa, Le Soft Online
- (Kiingereza) http://www.sdamy.com/en/tag/miss-world-2006.php?title=Miss-CONGO-DEMOCRATIC-REP&name=Diane-MIZUMI-MWINGA Ilihifadhiwa 21 Aprili 2007 kwenye Wayback Machine. Miss Congo Democratic Rep (picha), sdamy.com
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Diane Mizumi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |