Nenda kwa yaliyomo

Denise Fleming

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Denise K. Fleming (Alizaliwa 31 Januari 1950) ni mwandishi na mtengenezaji wa vitabu vya picha vya watoto kutoka Marekani. Alizaliwa Toledo, Ohio. Alihitimu katika uchoraji (baada ya mabadiliko kutoka kwa ubunifu wa matangazo) kutoka Chuo cha Sanaa na Ubunifu cha Kendall huko Grand Rapids, Michigan.[1]

  1. "Denise Fleming (1950-)". Something about the author. Volume 306. Kumar, Lisa. Farmington Hills, Mich.: Gale. 2017. uk. 49. ISBN 9781410324498. OCLC 969999076.{{cite book}}: CS1 maint: others (link)