Nenda kwa yaliyomo

Deborah Abiodun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Deborah Ajibola Abiodun (alizaliwa 2 Novemba 2003), alijulikana kwa jina la utani kama “Kante”, ni mchezaji wa soka la kulipwa kutoka nchini Nigeria anayekipiga katika nafasi ya kiungo.

Anachezea klabu ya Washington Spirit inayoshiriki Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake ya Marekani (NWSL), pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria.

Kabla ya kuingia soka la kulipwa, alicheza soka la vyuo katika Chuo Kikuu cha Pittsburgh akiwa na timu ya Pittsburgh Panthers, ambapo alitunukiwa heshima ya All-ACC mara mbili kutokana na kiwango chake bora uwanjani.[1][2]

  1. "Abiodun Deborah". International Olympic Committee. Iliwekwa mnamo 2025-01-06.
  2. Sanyaolu, Isaac (2023-07-22). "Deborah Abiodun – Nigeria | Player Profile". Futball Naija (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2024-01-20.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Deborah Abiodun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.