Daniel Georg Balk
Mandhari
Daniel Georg Balk (alizaliwa tarehre 23 Juni 1764 – 1826) alikuwa mtafiti wa tiba kutoka Ujerumani. Kati ya mwaka 1803 hadi 1804, alihudumu kama mkuu wa Chuo Kikuu cha Tartu (zamani kikiitwa Chuo Kikuu cha Dorpati).[1]
Alizaliwa mjini Königsberg.[1]
Balk ndiye aliyefanikisha kuanzishwa kwa Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu cha Tartu (Tartu University Clinic), taasisi muhimu ya afya na elimu ya udaktari nchini Estonia.[1]
Alifariki dunia mjini Tula, Urusi.[1]
| Alitanguliwa na Georg Friedrich Parrot |
Rekta wa Chuo Kikuu cha Dorpati 1803–1804 |
Akafuatiwa na Adam Christian Gaspari |
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- 1 2 3 4 "EEVA | Daniel George Balk (1764 – 1826 ?)". utlib.ut.ee. Iliwekwa mnamo 6 Februari 2024.
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Daniel Georg Balk kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |