Dani Alves

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Dani Alves
07 07 2019 Final da Copa América 2019 (48226649586) (cropped).jpg
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaBrazil, Hispania Hariri
Nchi anayoitumikiaBrazil Hariri
Jina katika lugha mamaDani Alves Hariri
Jina la kuzaliwaDaniel Alves da Silva Hariri
Jina halisiDani Hariri
Jina la familiaAlves Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa6 Mei 1983 Hariri
Mahali alipozaliwaJuazeiro Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania, Kireno Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timufull-back, Beki Hariri
Muda wa kazi11 Novemba 1980 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Ameshiriki2014 FIFA World Cup, Kombe la Dunia la FIFA 2010, FIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009, 2019 Copa América, football at the 2020 Summer Olympics – men's tournament Hariri
Tovutihttp://www.danialves.com/ Hariri

Dani Alves (alizaliwa Juazeiro, mji wa Brazili, 6 Mei 1983) ni mchezaji wa soka. Taifa lake ni Brazili.

Anacheza beki wa kushoto katika klabu ya Sao Paolo na kwa timu ya taifa ya Brazili.

Kabla ya kucheza Barcellona ndani 2008 alves alishawahi kuichezea Sevilla na kuchukua makombe mawili UEFA cap na Copa de rey na alisajiliwa Bacelona ka £32.5 millioni na akiwa hapo alicheza makombe mawili ya Super copa Espana na FIFA ya klabu na kombe la dunia na misimu (5) ya la liga pia alicheza UEFA Championi ligi mara mbili ndani ya 12 Julai 2017 alienda kujiunga na Paris Saint-Germain na kusaini mkataba wa miaka (2).

Football.svg Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dani Alves kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.