Dancehall

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dancehall ni aina ya muziki maarufu sana nchini Jamaica na ulimwenguni kwa ujumla. Aina hii ya muziki ilianza mwishoni mwa miaka ya 1970 na kuendelezwa vyema katika miaka ya 1980 na kuja kutambulikana ulimwenguni kote kwenye miaka ya 1990.[1] Muziki huu ni kombinenga la muziki wa reggae, hip hop, na R&B.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Niaah, Sonjah Stanley (July 10, 2010). DanceHall: From Slave Ship to Ghetto (in English). Ottawa: University of Ottawa Press. ISBN 9780776607368.