Nenda kwa yaliyomo

Damian Hugo Philipp von Schönborn

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kadinali von Schönborn

Damian Hugo Philipp von Schönborn (19 Septemba 1676, Mainz19 Agosti 1743, Bruchsal) alikuwa Prince-Askofu wa Speyer (1719–1743), Askofu wa Konstanz (1740–1743), na Kardinali wa Kanisa Katoliki tangu mwaka 1713.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.