Daimu Iddi Mpakate

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Daimu Iddi Mpakate ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tunduru Kusini kwa miaka 20152020. [1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.bunge.go.tz/index.php/primary_questions/409