Costantino Castriota
Mandhari
Costantino Castriota Scanderbeg (kwa Kialbania: Kostandin Kastriota; 1477 – 1500) alikuwa mtemi wa Albania kutoka ukoo wa Kastrioti na prelati wa Kanisa Katoliki aliyewahi kuwa Askofu wa Isernia (1497 – 1500). [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eubel, Konrad (1914). Hierarchia catholica medii et recentioris aevi. Juz. la II (tol. la second). Münster: Libreria Regensbergiana. uk. 169. (in Latin)
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |