Coralie Bertrand

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Coralie Bertrand
Coralie Bertrand

Coralie Bertrand (alizaliwa 10 Aprili, 1994) ni mchezaji wa raga katika chama cha raga cha Ufaransa na Rugby Sevens.

Anacheza raga ya wachezaji 15 kila upande kwa RC Chilly Mazarin nchini Ufaransa.[1] Alitajwa katika kikosi cha Ufaransa cha Rugby sevens katika michezo ya Olimpiki ya majira ya 2020.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-10. Iliwekwa mnamo 2021-12-03. 
  2. https://www.eurosport.co.uk/olympics/athletes/profile/bertrand-coralie-1400596/