Nenda kwa yaliyomo

Dagaa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Clupeidae)
Dagaa
Dagaa-papa tumbo-laini (Amblygaster leiogaster)
Dagaa-papa tumbo-laini (Amblygaster leiogaster)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Actinopterygii
Oda: Clupeiformes
Bleeker, 1959
Ngazi za chini

Familia 5:

Dagaa ni samaki mdogo anayepatikana kwa wingi". Kwa sababu ya ukubwa wake mdogo, mara nyingi hukaushwa. Usipa huliwa sana nchini Malawi na Msumbiji pamoja na ugali. Usipa uliokaushwa huuzwa katika masoko mengi nchini Malawi. Katika Malawi, usipa kwa kawaida huliwa ukiwa na mifupa yake kutokana na kuwa laini.[1]

Usipa inachukua nafasi muhimu katika maisha ya kiuchumi ya kaya nyingi kando ya Ziwa Malawi zinazotegemea uvuvi kwa kipato. Hakuna mengi yanayojulikana kuhusu biolojia ya spishi hii.[2]

Spishi zilizochaguliwa za Afrika ya Mashariki

[hariri | hariri chanzo]
  • Rashid Anam & Edoardo Mostarda (2012) Field identification guide for the living marine resources of Kenya. FAO, Rome.
  • Gabriella Bianchi (1985) Field guide to the commercial marine brackish-water species of Tanzania. FAO, Rome.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]

Dagaa kwenye hifadhidata ya samaki Ilihifadhiwa 13 Agosti 2019 kwenye Wayback Machine.

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dagaa kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "Book sources - Wikipedia". en.wikipedia.org (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2026-07-25.
  2. Country Case Study: Development and Status of Freshwater Aquaculture in Malawi (kwa Kiingereza). WorldFish. 2008. ISBN 978-983-2346-64-7.