Clive Uptton
Mandhari
Clive Uptton (Machi 12, 1911 – Februari 11, 2006) alikuwa mchoraji picha na mchoraji wa mandhari na picha za watu nchini Uingereza aliyeheshimiwa sana.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Mark Bryant (2011). The world's greatest war cartoonists and caricaturists, 1792-1945. Grub Street. uk. 172.
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Clive Uptton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |