Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge (MWECAU), zamani Chuo Kikuu cha Elimu cha Mwenge (MWUCE), ni chuo kikuu ambacho kiko chini ya Mkutano wa Maaskofu Tanzania wa Kanisa la Roma katoliki, uliopo Moshi, Tanzania. Kilianzishwa kama Chuo cha Ualimu cha St Joseph.  Baadae kama Chuo Kikuu cha Elimu cha Mwenge, kilikuwa ni tawi la Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "2016 Exhibitions participants - Tanzania Commission for University". web.archive.org. 2016-08-26. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-08-26. Iliwekwa mnamo 2021-06-19. 
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.