Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya na Sayansi St. Francis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi ya Mtakatifu Francis  ni tawi  la  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania,[1]

Chuo kilianzishwa mwaka 2010 na Mkutano wa Maaskofu Tanzania  kwa kuzingatia hitaji la Kanisa Katoliki kuchangia mafunzo ya madaktari zaidi na Wataalam wengine wa Afya nchini Tanzania Chuo kilisajiliwa kwa muda na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) tarehe 2 Novemba 2010 na kilisajiliwa rasmi Septemba 2013.

Chuo ni shule ya pili ya Tiba baada ya Weill Bugando wa zamani huko Mwanza, sasa Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Afya na Sayansi Shirikishi (CUHAS) kuanzishwa na kumilikiwa na Maaskofu wa Kakatoliki Tanzania.

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi ya Mtakatifu Francis kiko katika mji wa Ifakara; nyumba ya kiutawala ya wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro kipo kilomita mia nne ishirini Kusini Magharibi mwa Dar-s-Salaam na kilomita 230 kutoka Mji wa Morogoro.Ni shule ya kwanza ya matibabu kuanzishwa katika mji wa vijijini wa Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Wayback Machine". web.archive.org. 2015-09-24. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-09-24. Iliwekwa mnamo 2021-06-19. 
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya na Sayansi St. Francis kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.