Christopher Ameyaw-Akumfi
Mandhari
Christopher Ameyaw-Akumfi (amezaliwa 21 Januari 1945) ni mwanataaluma na mwanasiasa wa Ghana.[1]
Alizaliwa katika Techiman katika Mkoa wa Bono East Region. Aliwahi kuwa Waziri wa Elimu katika serikali ya Rais John Agyekum Kufuor.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Ghana MPs - MP Details - Ameyaw-Akumfi, Christopher (Prof)". ghanamps.gov.gh. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-05-06. Iliwekwa mnamo 2026-05-29.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Christopher Ameyaw-Akumfi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |