Chid Benz
Chid Benz | |
---|---|
Jina la kuzaliwa | Rashidi Abdallah Makwiro |
Pia anajulikana kama | Chuma Cha Ilala |
Amezaliwa | 1985 |
Aina ya muziki | Hip Hop, Gangsta Rap, Bongo Flava, RnB |
Kazi yake | rapa |
Ala | Sauti |
Ame/Wameshirikiana na | LA Familia, Chiku k, Nikki Mbishi, One The Incredible |
Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro[1] (anafahamika sana kwa jina la kisanii kama Chid Benz; amezaliwa 1985) ni rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania.
Yeye ndiye mwanzilishi na ndiye kiongozi wa kundi la wasanii wa Ilala almaarufu kama LAFamilia.[2] Benz anasifika sana kwa kupata ushirika mwingi kwa sasa kuliko msanii yeyote yule kwa Tanzania. Amewahi kushirikiana na Stara Thomas, Ray C., Lady Jay Dee, Tunda Man, Spark, Mwasiti, Mangwair, Maunda Zorro, na wengine wengi tu.
LA Familia ni kundi la msanii Chidi Benz kutoka ilala.
Ilala a.k.a. iLA ni wilaya inayoongoza kwa wasanii na wapenda michezo ya burudani.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Jicholauswazi, CHID BENZ HARMONIZE HAJAENDA SHULE PESA AMEPEWA NA MWANAMKE,KONKI MASTA ANACHEZA NA WATOTO KWENDA .., retrieved 2018-12-06
- ↑ Chid Benz katika Tanzania Directory[dead link]
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Chid Benz katika Tanzania Directoty.info
- chid-benz[dead link]
- CHID BENZ: Mwana-hiphop asiyeogopa kuitwa bishoo kwavile ni bishoo Archived 13 Oktoba 2008 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu muziki wa Afrika bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chid Benz kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |