Charles Garrett Maloney
Mandhari
Charles Garrett Maloney (9 Septemba 1913 – 30 Aprili 2006) alikuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Louisville na Askofu wa jimbojina la Bardstown, Kentucky.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |