Charles Garnier

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wajesuiti wafiadini wa Amerika Kaskazini.

Charles Garnier, S.J. (Paris, Ufaransa 25 Mei 1606 – karibu na Collingwood, Ontario, Kanada, 7 Desemba 1649) alikuwa padri wa Wajesuiti mmisionari kwa Wahuroni wa Amerika Kaskazini tangu mwaka 1636[1].

Aliuawa na Wairoki, kabila lingine la Waindio wakati wa kubatiza wakatekumeni[2][3].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 21 Juni 1925, na kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1930.

Sikukuu ya kundi lake la wafiadini huadhimishwa tarehe 19 Oktoba, lakini ya kwake mwenyewe huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92011
  2. Gray, Charlotte; Angel, Sara (2004). The Museum Called Canada: 25 Rooms of Wonder. Random House Canada. ISBN 978-0-679-31220-8.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  3. Larivière, Florian (1957). La Vie ardente de Saint Charles Garnier. Montreal: Bellarmin. 
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • "De la prise et désolation de la mission de Saint-Jean, par les Iroquois, et de la mort du P. Charles Garnier, qui y était en mission" and "Abrégé de la vie du Père Charles Garnier," in ACSM, "Mémoires touchant la mort et les vertus des pères Isaac Jogues . . ." (Ragueneau), repr. APQ Rapport, 1924–25, 76–85.
  • APQ Rapport, 1929–30, 1–43, "Lettres de Saint Charles Garnier." JR (Thwaites), XXXV, 118–44; et passim. Positio causae.
  • Florian Larivière, La vie ardente de Saint Charles Garnier (Montréal, 1957).
  • Rochemonteix, Les Jésuites et la Nouvelle-France au XVIIe siècle, I, 97–100, 409–18.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.