Cecilia Chongo
Mandhari
| Cecilia Miranda Chongo | |
| Nchi | Mozambique |
|---|---|
| Kazi yake | Mwanasiasa |
| Chama cha kisiasa | FRELIMO |
Cecilia Miranda Chongo alikuwa mwanasiasa wa Msumbiji. Mwaka 1977, alikuwa miongoni mwa kundi la mwanzo la wanawake walioteuliwa kuingia Bunge la Watu.
Wasifu
[hariri | hariri chanzo]Chongo alikuwa mgombea wa FRELIMO katika uchaguzi[1] wa bunge wa mwaka 1977,ambapo alikuwa miongoni mwa kundi la mwanzo la wanawake 27 walioteuliwa kuingia Bunge la Watu. Alichaguliwa tena mwaka 1986 kutoka Jimbo la Gaza.[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://books.google.co.tz/books?id=plZEAQAAIAAJ&pg=RA9-PA42&redir_esc=y#v=onepage&q&f=false
- ↑ https://archive.gazettes.africa/archive/mz/1987/mz-government-gazette-series-i-supplement-no-4-dated-1987-09-22-no-37.pdf
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Cecilia Chongo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |