Nenda kwa yaliyomo

Castellón de la Plana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Castellón de la Plana ni mji wa Hispania, mji mkuu wa Mkoa wa Castellón.

Mwaka 2019 wakazi wake walikuwa 171,728 [1] na kuufanya wa thelathini na tisa nchini kwa wingi wa watu.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Cifras oficiales de población resultantes de la revisión del Padrón municipal a 1 de enero. Detalle municipal". INE.
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Castellón de la Plana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.