Nenda kwa yaliyomo

Bunge la Afrika Mashariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akihutubia Bunge.

Bunge la Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: East African Legislative Assembly, kifupi: EALA) ni chombo cha Jumuia ya Afrika Mashariki kwa kutunga sheria. Wabunge wanahudumu kwa miaka mitano.[1]

Bunge lilianzishwa tarehe 30 Novemba 2001.

Bunge la nne lina wajumbe 62, yaani 9 kwa kila nchi mwanachama, wakichaguliwa na bunge la nchi husika namna ya kuwakilisha kweli taifa lote, na wengine 8 kutokana na wadhifa wao. Spika ni Martin Ngoga kutoka Rwanda.

  1. "4th Assembly 2017- 2022 —East African Legislative Assembly". www.eala.org. East African Community. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-12-04. Iliwekwa mnamo 2020-12-04.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bunge la Afrika Mashariki Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.