Hospitali ya Bumbuli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Bumbuli hospitali)
Bumbuli hospitali

Hospitali ya Bumbuli ni moja ya taasisi kubwa sana ya kitabibu inayosimamiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya kaskazini Mashariki. Ni moja ya hospitali kubwa sana iliyojengwa na Wajerumani katika eneo hilo la Bumbuli ili iwahudumie wakazi wa eneo hilo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]