Bukeerere
Bukeerere (wakati mwingine imeandikwa vibaya kama Bukerere lakini tahajia sahihi ya kifonetiki ina 'e' mbili baada ya 'k'.[1]) ni mji katika Mkoa wa Kati huko Uganda.
Mahali[hariri | hariri chanzo]
Bukeerere iko katika wilaya ya Mukono, kilometa 11 (maili 6.8), kwa barabara, kaskazini magharibi mwa Mukono, makao makuu ya wilaya.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Oluguudo lwe'Bukeerere lukolebwa ddi? (When will Bukerere Road be improved?)". Bukedde Newspaper Online (kwa Ganda). Kampala. 8 July 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-06-28. Iliwekwa mnamo 10 January 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bukeerere kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |