Bukeerere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Bukeerere katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°24′27″N 32°42′07″E / 0.40750°N 32.70194°E / 0.40750; 32.70194

Bukeerere (wakati mwingine imeandikwa vibaya kama Bukerere lakini tahajia sahihi ya kifonetiki ina 'e' mbili baada ya 'k'.[1]) ni mji katika Mkoa wa Kati huko Uganda.

Mahali[hariri | hariri chanzo]

Bukeerere iko katika wilaya ya Mukono, kilometa 11 (maili 6.8), kwa barabara, kaskazini magharibi mwa Mukono, makao makuu ya wilaya.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Oluguudo lwe'Bukeerere lukolebwa ddi? (When will Bukerere Road be improved?)". Bukedde Newspaper Online (kwa Ganda). Kampala. 8 July 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-06-28. Iliwekwa mnamo 10 January 2016.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)