Nenda kwa yaliyomo

Bukeerere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Bukeerere katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°24′27″N 32°42′07″E / 0.40750°N 32.70194°E / 0.40750; 32.70194

Bukeerere (wakati mwingine imeandikwa vibaya kama Bukerere lakini tahajia sahihi ya kifonetiki ina 'e' mbili baada ya 'k'.[1]) ni mji katika Mkoa wa Kati huko Uganda.

Bukeerere iko katika wilaya ya Mukono, kilometa 11 (maili 6.8), kwa barabara, kaskazini magharibi mwa Mukono, makao makuu ya wilaya.

  1. "Oluguudo lwe'Bukeerere lukolebwa ddi? (When will Bukerere Road be improved?)". Bukedde Newspaper Online (kwa Ganda). Kampala. 8 Julai 2011. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-06-28. Iliwekwa mnamo 10 Januari 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: unrecognized language (link)