Bruno wa Segni


Bruno wa Segni, O.S.B. (1045 hivi – 18 Julai 1123) alikuwa padri, mmonaki, halafu abati wa Montecassino na askofu wa Segni, Italia.[1][2][3][2]
Tarehe 5 Septemba 1181 Papa Lucius III alimtangaza kuwa mtakatifu.[1]
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Julai[4]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 Saint Bruno of Segni. Saints SQPN (23 August 2017). Retrieved on 6 October 2017.
- ↑ 2.0 2.1 Salvador Miranda. Consistory celebrated in 1086 (I). The Cardinals of the Holy Roman Church. Retrieved on 6 October 2017.
- ↑ St. Bruno. New Advent. Retrieved on 6 October 2017.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |