Boutheina Jabnoun Marai
Mandhari
Boutheina Jabnoun Marai (Kiarabu cha Tunisia: بثينة جبنون مرعي) ni mwandishi wa habari na mchapishaji wa jarida kutoka Tunisia. Yeye ni mmiliki mwenza na mhariri mkuu wa jarida la Bouthaina. Kwa sasa anaishi Abu Dhabi.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Boutheina célèbre ses 12 ans" (kwa Kifaransa). Babnet Tunisie. 2006-06-23. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-04. Iliwekwa mnamo 2011-01-02.
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Boutheina Jabnoun Marai kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |