Bomoa Mipango

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bomoa Mipango
Bomoa Mipango Cover
Kava ya albamu ya Bomoa Mipango.
Studio album ya Dknob
Imetolewa 1 Julai 2008
Imerekodiwa 2007-2008
Aina Hip hop laini
Lugha Kiswahili
Lebo Mwamba Production
MJ Records
Mid Man Records
Mtayarishaji Miikka Mwamba
Master Jay
Producer Jonas
Bizz Man
Wendo wa albamu za Dknob
Elimu Mitaani.com
(2007)
Bomoa Mipango
(2008)
Single za kutoka katika albamu ya Dknob
  1. "Kitu Gani"
    Imetolewa: 20 Aprili 2007
  2. "Dear Mtoto"
    Imetolewa: 25 Julai 2008


Bomoa Mipango ni albamu ya Dknob ya mwaka wa 2008. Albamu ina nyimbo zipatazo kumi. Albamu imeshirikisha wasanii kabambe wa muziki wa wa kizazi kipya, wasanii hao ni kama vile Squeezer, Benjamin, Q Jay, Ray C, Soprano na Only Face. Albamu inasambazwa na kampuni ya Mitaani Most Wanted Entertainment, ambayo ni kampuni ya burudani ya mwanamuziki Dknob. Kwa mauzo ya nje, albamu inasambazwa na Mwamba Production ya nchini Finland.

Nyimbo zilizopo katika albamu[hariri | hariri chanzo]

  1. Dakika Tatu
  2. Yupi ni Yupi - Akimsh. Benjamin
  3. Ingewezekana - Akimsh. Ray C na Squeezer
  4. Juhudi za Msela
  5. Dear Mtoto
  6. We Unasemaje - Akimsh. Benjamin
  7. Mfalme wa Mitaani - Akimsh. Only Face
  8. Kitu Gani - Akimsh. Q Jay
  9. We Unasemaje (rmx) - Akimsh. Benjamin
  10. Kitu Gani (rmx) - Akimsh. Q Jay

Nyimbo zote zimetayarishwa na Miikka Mwamba kasoro Na. 3 (Mj Records) na Na. 4 (Mid Man Records).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]