Nenda kwa yaliyomo

Blimondi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Blimondi (pia: Blitmondo, Blitmund, Blidmundus, Blimond, Blimont, Blimundus, Blithmundus, Blithumund, Blitmond, Gogo, Gogus; Dauphiné, Ufaransa, karne ya 6 - Saint-Valery-sur-Somme, Ufaransa, 650 au 673[1]) alikuwa mkaapweke, halafu mmonaki wa Kikolumbani chini ya Valeriko, tena mwandamizi wake kama abati wa monasteri ambayo aliijenga upya baada ya kubomolewa na wavamizi ikawa kituo muhimu cha uinjilishaji [2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 3 Januari[4].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Ernst Förstemann, Altdeutsches Namenbuch, München, W. Fink; Hildesheim, Gg. Olms, 1856.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.