Beverly Osu
Beverly Osu | |
---|---|
Amezaliwa | Beverly Ada Mary Osu 27 Septemba 1992 Lagos State, Nigeria |
Kazi yake | Muigizaji, mwanamitindo |
Miaka ya kazi | 2011 - hadi leo |
Beverly Ada Mary Osu(alizaliwa septemba 27, 1992), ni mwanamitindo na muigizaji wa kike kutoka nchini Nigeria. [1]Alifahamika kwa uhusika wake katika filamu mbalimbali na jinsi alivyoshiriki katika shindano la Big Brother Africa. [2][3]Osu alishinda medali ya mwaka kwenye tuzo za Dynamix All Youth mnamo mwaka 2011. [4]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Rapheal (2019-10-12). 99 percent of women fake orgasm – Beverly Osu (en-US).
- ↑ Chinasa, Hannah (2017-02-23). Beverly Osu: Life and modelling career (en). Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-12-14. Iliwekwa mnamo 2020-10-31.
- ↑ RITA (2019-06-26). Cosmetic surgery: Beverly Osu issues advice to ladies (en-US).
- ↑ Beverly Osu defends racy pictures in nun outfit, says 'I'm Catholic'website=TheCable Lifestyle (en-US).
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |