Bernard Wilhelm Lapian
Mandhari
Bernard Wilhelm "B. W." Lapian (30 Juni 1892 – 5 Aprili 1977) alikuwa mzalendo wa Indonesia aliyeshiriki katika harakati za kupigania uhuru wa Indonesia. Alichapisha magazeti kadhaa yaliyolenga kuangazia ustawi wa wananchi wa Indonesia na kukuza uzalendo wa Kiindonesia.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Parlina, Ina (6 Novemba 2015). [(http://www.thejakartapost.com/news/2015/11/06/five-named-national-heroes.html) "Five Named as National Heroes"]. The Jakarta Post. Jakarta. Iliwekwa mnamo 23 Disemba 2016.
{{cite news}}: Check|url=value (help); Check date values in:|access-date=(help)