Bernard Partridge
Mandhari
Sir John Bernard Partridge (Oktoba 11, 1861 – Agosti 9, 1945) alikuwa mchoraji picha wa Uingereza. Alizaliwa London, alikuwa mtoto wa Profesa Richard Partridge, rais wa Royal College of Surgeons, na mjukuu wa John Partridge, mchoraji picha wa kipekee wa Malkia Victoria. Kwa miaka kadhaa alijulikana kama mwigizaji kwa jina la kisanii la Bernard Gould.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bernard Partridge kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |