Benyamini wa Argol

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Benyamini.

Benyamini wa Argol (alifariki Argol, nchini Uajemi, 424 hivi) alikuwa shemasi aliyeteswa na kuuawa kwa sababu aliendelea kuhubiri imani yake katika dhuluma ya mfalme Vararane V[1][2]. Walimuingizia ncha kali katika makucha yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Machi[3] au 13 Oktoba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.