Benjamin Ochan
Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Jinsia | mume |
---|---|
Nchi ya uraia | Uganda |
Jina halisi | Benjamin |
Tarehe ya Kuzaliwa | 18 Septemba 1989 |
Mahali alipozaliwa | Uganda |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | goalkeeper |
Mwanachama wa timu ya michezo | Kampala City Council FC, Victoria University SC, Uganda national football team |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Benjamin Ochan (alizaliwa 18 septemba 1989) mchezaji wa soka wa Uganda, ambaye anacheza katikia klabu ya Warriors na timu ya taifa ya Uganda.
Kazi ya klabu[hariri | hariri chanzo]
Ochan alijiunga na Chuo Kikuu cha Victoria Februari 2015 kilichopo Kampala Capital City Authority FC. Alisainiwa na klabu ya Warriors tarehe 14 Februari 2018.
Kazi ya kimataifa[hariri | hariri chanzo]
mnamo januari 2014 kocha Milutin sredojevic alimuhitaji katika kikosi cha kwanza cha timiu ya taifa ya Uganda.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Benjamin Ochan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |