Benedikto wa Avignon
Mandhari

Benedikto wa Avignon (pia: Bénézet, Benedict, Benezet, Benet, Benoît; Hermillon, Savoy, 1163 hivi - 1184) alikuwa mvulana aliyefanya kazi ya kuchunga katika maeneo ya Ufaransa Kusini Mashariki wa leo.
Kwa msaada wa Mungu aliwezesha ujenzi wa daraja muhimu juu ya mto Rhone huko Avignon[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 129-130
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- (Kiitalia) Pierre Péano, in G. Pelliccia e G, Rocca (curr.), Dizionario degli Istituti di Perfezione (DIP), vol. IV (1977), coll. 1359-1360.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kiingereza) Saints of April 14: Bénézet
- (Kiingereza) Bénézet
- (Kifaransa) L'histoire du Pont St Bénezet Ilihifadhiwa 17 Mei 2013 kwenye Wayback Machine.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑
- Gross, Ernie. This Day in Religion. New York: Neil-Schuman Publishers, 1990. ISBN 1-55570-045-4.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/49420
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |