Belukha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Belukha

Belukha ni mlima wenye kimo cha m 4,506 juu ya usawa wa bahari.

Uko Urusi katika Milima ya Altai; ndio mrefu kuliko hiyo yote.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belukha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.